SALA YA MAPENDO


SALA YA MAPENDO.
Mungu wangu, nakupenda zaidi ya chochote. Kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza. Nampenda na jirani yangu, kama nafsi yangu, kwa ajili yako. Amina.


Comments

Popular posts from this blog

SALA YA JIONI.

SALA YA ASUBUHI